Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 4:21 - Swahili Revised Union Version

21 Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Naye ametupatia amri hii: Yeyote anayempenda Mungu lazima pia ampende ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Naye ametupa amri hii: Yeyote anayempenda Mungu lazima pia ampende ndugu yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 4:21
20 Marejeleo ya Msalaba  

Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.


Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;


Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Nenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo.


Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.


Maana torati yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Kuhusu upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.


Neno la mwisho ni hili; muwe na nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.


Wapenzi, siwaandikii amri mpya, ila amri ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo. Na hiyo amri ya zamani ni neno lile mlilolisikia.


Maana, hii ndiyo habari mliyoisikia tangu mwanzo, kwamba tupendane sisi kwa sisi;


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana tunawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.


Watoto wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi, bali kwa tendo na kweli.


Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri.


Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo