Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:7 - Swahili Revised Union Version

Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, mnayoitaja, mkisema, Ni ukiwa, haina mwanadamu wala mnyama; imetiwa katika mikono ya Wakaldayo.


Heri angojaye, na kuzifikia siku hizo elfu na mia tatu na thelathini na tano.


Nami nikasikia, lakini sikuelewa; ndipo nikasema, Ee Bwana wangu, mwisho wa mambo haya utakuwaje?


Mambo hayo wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kwamba ameandikiwa hayo, na ya kwamba walimtendea hayo.


Simoni Petro akamwambia, Bwana, unakwenda wapi? Yesu akamjibu, Niendako huwezi kunifuata sasa; lakini utanifuata baadaye.


Akamfikia Simoni Petro. Huyo akamwambia, Bwana! Wewe waniosha miguu mimi?


Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.