Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 13:7 - Swahili Revised Union Version

7 Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Isa akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Isa akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, mnayoitaja, mkisema, Ni ukiwa, haina mwanadamu wala mnyama; imetiwa katika mikono ya Wakaldayo.


Heri angojaye, na kuzifikia siku hizo elfu na mia tatu na thelathini na tano.


Nami nikasikia, lakini sikuelewa; ndipo nikasema, Ee Bwana wangu, mwisho wa mambo haya utakuwaje?


Mambo hayo wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kwamba ameandikiwa hayo, na ya kwamba walimtendea hayo.


Simoni Petro akamwambia, Bwana, unakwenda wapi? Yesu akamjibu, Niendako huwezi kunifuata sasa; lakini utanifuata baadaye.


Akamfikia Simoni Petro. Huyo akamwambia, Bwana! Wewe waniosha miguu mimi?


Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo