Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:17 - Swahili Revised Union Version

Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sasa kwa kuwa mmejua mambo haya, heri kwenu mkiyatenda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sasa kwa kuwa mmejua mambo haya, heri yenu ninyi kama mkiyatenda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:17
21 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.


Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu kuu.


Musa akafanya hayo yote; kama BWANA aliyoagiza ndivyo alivyofanya yote.


Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.


Naye BWANA akaniambia, Hubiri maneno haya yote katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu, ukisema, Yasikieni maneno ya maagano haya, mkayafanye.


Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.


Kwa maana yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye kaka yangu, na dada yangu na mama yangu.


Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.