Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 6:22 - Swahili Revised Union Version

22 Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Noa akafanya yote kama Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Noa akafanya yote kama Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Noa akafanya yote kama Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Nuhu akafanya kila kitu kama vile Mungu alimwamuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Nuhu akafanya kila kitu kama vile Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 6:22
19 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Abrahamu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.


Na walioingia, waliingia wa kike na wa kiume, wa kila kitu chenye mwili, kama vile alivyomwamuru Mungu; BWANA akamfungia.


Nuhu akafanya kama vile BWANA alivyomwamuru.


wakaingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, wa kike na wa kiume, kama vile Mungu alivyomwamuru Nuhu.


Musa akafanya hayo yote; kama BWANA aliyoagiza ndivyo alivyofanya yote.


Akaitanda hema juu ya maskani, akakitia kifuniko cha hema juu yake; kama BWANA alivyomwamuru Musa.


kisha akalileta sanduku akalitia ndani ya maskani, naye akalitundika pazia la sitara, akalisitiri sanduku la ushuhuda; kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Akaipanga ile mikate juu yake mbele za BWANA; kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Kisha akaziwasha taa zake mbele za BWANA, kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Akafukiza juu yake uvumba wa manukato kama BWANA alivyomwamuru Musa.


hapo walipoingia hema ya kukutania, na hapo walipoikaribia madhabahu walinawa kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Musa na Haruni wakafanya vivyo hivyo; kama BWANA alivyowaambia, ndivyo walivyofanya.


Akainuka akamchukua mtoto na mamaye, akaenda katika nchi ya Israeli.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Mamaye akawaambia watumishi, Lolote atakalowaambia, fanyeni.


Neno lolote ninalowaagiza lizingatieni, usilizidishe, wala usilipunguze.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo