Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 6:21 - Swahili Revised Union Version

21 Ukajitwalie chakula cha kila namna kinacholika, ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Pia chukua aina zote za vyakula vinavyolika, uvihifadhi kwa ajili ya chakula chenu na viumbe hao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Pia chukua aina zote za vyakula vinavyolika, uvihifadhi kwa ajili ya chakula chenu na viumbe hao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Pia chukua aina zote za vyakula vinavyolika, uvihifadhi kwa ajili ya chakula chenu na viumbe hao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Utachukua kila aina ya chakula kitakacholiwa, na ukiweke akiba kama chakula kwa ajili yako na yao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Utachukua kila aina ya chakula kitakacholiwa, na ukiweke akiba kama chakula kwa ajili yako na yao.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Ukajitwalie chakula cha kila namna kinacholika, ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 6:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutangatanga kwa kutindikiwa na chakula?


Hakika milima humtolea chakula; Hapo wachezapo wanyama pori wote.


Yeye akipaye kila kiumbe chakula chake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Waufumbua mkono wako, Wakishibisha kila kilicho hai matakwa yake.


Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.


Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa BWANA akiwafuatia.


Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kuliko hao?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo