Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 12:7 - Swahili Revised Union Version

Basi Yesu alisema, Mwache aiweke kwa siku ya maziko yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yesu alisema, Mwache aiweke kwa siku ya maziko yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 12:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


BWANA akamwambia Shetani, BWANA na akukemee Ewe Shetani; naam, BWANA, aliyechagua Yerusalemu, na akukemee; je, Hiki si kinga kilichotolewa motoni?


Yesu akatambua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi.


Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hiyo, ametenda hivyo ili kuniweka tayari kwa maziko yangu.


Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamsumbua? Amenitendea kazi njema;


Na tazama, akatoka mtu mmoja, jina lake Yusufu, ambaye ni mtu wa baraza, mtu mwema, mwenye haki;