Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:46 - Swahili Revised Union Version

Lakini wengine wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wengine wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:46
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri ya kwamba mtu akimjua alipo, alete habari, ili wapate kumkamata.


Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;


Mafarisayo wakawasikia mkutano wakinung'unika hivi juu yake; basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma watumishi ili wamkamate.


Basi wale watumishi wakawaendea wakuu wa makuhani na Mafarisayo. Nao wakawaambia, Mbona hamkumleta?


Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.


Mtu mmoja akaja akawapasha habari ya kwamba, Watu wale mliowaweka gerezani wako ndani ya hekalu, wamesimama wakiwafundisha watu.