Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:46 - Swahili Revised Union Version

46 Lakini wengine wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Lakini wengine wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:46
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri ya kwamba mtu akimjua alipo, alete habari, ili wapate kumkamata.


Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;


Mafarisayo wakawasikia mkutano wakinung'unika hivi juu yake; basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma watumishi ili wamkamate.


Basi wale watumishi wakawaendea wakuu wa makuhani na Mafarisayo. Nao wakawaambia, Mbona hamkumleta?


Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.


Mtu mmoja akaja akawapasha habari ya kwamba, Watu wale mliowaweka gerezani wako ndani ya hekalu, wamesimama wakiwafundisha watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo