Yohana 11:46 - Swahili Revised Union Version46 Lakini wengine wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI46 Lakini wengine wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu. Tazama sura |