Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:43 - Swahili Revised Union Version

Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:43
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?


Nami nilijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nilisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.


Akatoka nje yule aliyekufa, akiwa amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.


Basi, siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alifika Bethania, alipokuwapo Lazaro, yeye ambaye Yesu alimfufua katika wafu.


Basi watu wengi katika Wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua katika wafu.


Wakati Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?


Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende.


Petro akamwambia, Ainea, Yesu Kristo akuponya; inuka, ujitandikie. Mara akainuka.


Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Tabitha, inuka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.