Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:34 - Swahili Revised Union Version

akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hayupo hapa; maana amefufuka kama alivyosema. Njooni, mpatazame mahali alipolazwa.


Nao Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose wakapatazama mahali alipowekwa.


Naye akawaambia, Msistaajabu; mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulubiwa; amefufuka; hayupo hapa; patazameni mahali walipomweka.


Akawaambia, Njooni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.


Basi Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliofuatana naye wanalia, aliugua rohoni, akafadhaika roho yake,


Yesu akalia machozi.


Basi akaenda mbio, akafika kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, Wamemwondoa Bwana kaburini, wala hatujui walikomweka.