Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:35 - Swahili Revised Union Version

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Isa akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Isa akalia machozi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:35
17 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akafanya haraka, kwa sababu moyo wake ulimwonea shauku nduguye, akatafuta pa kulilia, akaingia chumbani mwake, akalilia humo.


Je! Mimi sikulia kwa ajili ya huyo aliyekuwa katika taabu? Nafsi yangu, je! Haikusononeka kwa ajili ya wahitaji?


Macho yangu yachuruzika mito ya machozi, Kwa sababu hawaitii sheria yako.


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, akawachukua siku zote za kale.


Bali kama hamtaki kusikia, roho yangu italia kwa siri, kwa sababu ya kiburi chenu; na jicho langu litalia sana na kutoka machozi mengi, kwa kuwa kundi la BWANA limechukuliwa mateka.


Nawe utawaambia neno hili, Macho yangu na yatiririke machozi, usiku na mchana, wala yasikome; kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjika mavunjiko makuu, kwa jeraha lisiloponyeka.


Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu kuwa chemchemi ya machozi, ili nipate kulia mchana na usiku kwa ajili yao waliouawa wa binti ya watu wangu!


Mimi ninayalilia mambo hayo; Jicho langu, jicho langu linachuruzika machozi; Kwa kuwa mfariji yuko mbali nami, Ambaye ilimpasa kunihuisha nafsi; Watoto wangu wameachwa peke yao, Kwa sababu huyo adui ameshinda.


Waliposikia hayo, aliongeza kusema mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu utaonekana mara moja.


Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,


Basi Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliofuatana naye wanalia, aliugua rohoni, akafadhaika roho yake,


akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.


Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa kama sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo