Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:34 - Swahili Revised Union Version

34 akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hayupo hapa; maana amefufuka kama alivyosema. Njooni, mpatazame mahali alipolazwa.


Nao Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose wakapatazama mahali alipowekwa.


Naye akawaambia, Msistaajabu; mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulubiwa; amefufuka; hayupo hapa; patazameni mahali walipomweka.


Akawaambia, Njooni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.


Basi Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliofuatana naye wanalia, aliugua rohoni, akafadhaika roho yake,


Yesu akalia machozi.


Basi akaenda mbio, akafika kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, Wamemwondoa Bwana kaburini, wala hatujui walikomweka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo