Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:18 - Swahili Revised Union Version

Na Bethania ilikuwa karibu na Yerusalemu, kadiri ya maili mbili hivi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu, umbali upatao kilomita tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu, umbali upatao kilomita tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu, umbali upatao kilomita tatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa yamkini maili mbili,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu umbali wa karibu maili mbili,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Bethania ilikuwa karibu na Yerusalemu, kadiri ya maili mbili hivi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.


Na tazama, siku ile ile watu wawili miongoni mwao walikuwa wakienda katika kijiji kimoja, jina lake Emau, kilichokuwa mbali na Yerusalemu kama mwendo wa saa mbili.


Basi mtu mmoja alikuwa mgonjwa, Lazaro wa Bethania, mwenyeji wa mji wa Mariamu na Martha, dada yake.


Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kuikaribia mashua; wakaogopa.


Shinikizo lile likakanyagwa nje ya mji, damu ikatoka katika shinikizo mpaka kwenye hatamu za farasi, kama mwendo wa maili mia mbili.


Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake ni sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu moja na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa.