Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:8 - Swahili Revised Union Version

Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi; lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyang'anyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wote walionitangulia ni wezi na wanyang’anyi, nao kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi, lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi; lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA.


Mwanadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli, toa unabii, uwaambie, naam, hao wachungaji, Bwana MUNGU asema hivi; Ole wao wachungaji wa Israeli, wanaojilisha wenyewe; je! Haiwapasi wachungaji kuwalisha kondoo?


Wakuu wake walio ndani yake ni simba wangurumao; mahakimu wake ni mbwamwitu wa jioni; wasiobakiza kitu chochote mpaka asubuhi.


Kwa maana, tazama, mimi nitainua katika nchi hii mchungaji, ambaye hatawaangalia waliopotea, wala hatawatafuta waliotawanyika, wala hatamganga aliyevunjika, wala hatamlisha aliye mzima; bali atakula nyama ya wanono, na kuziraruararua kwato zao.


Yesu aliwaambia, Amin, amin, nawaambieni, Yeye asiyeingia mlangoni katika zizi la kondoo, lakini akwea penginepo, huyo ni mwizi naye ni mnyang'anyi.


Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.


Mgeni hawatamfuata kabisa, bali watamkimbia; kwa maana hawazijui sauti za wageni.


Kwa sababu kabla ya siku hizi aliondoka Theuda, akijidai ya kuwa yeye ni mtu mkuu, watu wapatao mia nne wakashikamana naye; naye aliuawa na wote waliomsadiki wakatawanyika wakawa si kitu.