Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:39 - Swahili Revised Union Version

Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo wakajaribu kumkamata kwa mara nyingine, lakini akaponyoka kutoka mikononi mwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo wakajaribu kumkamata kwa mara nyingine, lakini akaponyoka kutoka mikononi mwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:39
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.