Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:25 - Swahili Revised Union Version

Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakamwuliza Yohane, “Kama wewe si Masiha, wala Elia, wala yule nabii, mbona wabatiza?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakamwuliza Yohane, “Kama wewe si Masiha, wala Elia, wala yule nabii, mbona wabatiza?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakamwuliza Yohane, “Kama wewe si Masiha, wala Elia, wala yule nabii, mbona wabatiza?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakamuuliza, “Kama wewe si Al-Masihi, wala si Ilya na wala si yule Nabii, kwa nini basi unabatiza?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakamuuliza, “Kama wewe si Al-Masihi, wala si Ilya na wala si yule Nabii, kwa nini basi unabatiza?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwuliza, wakisema, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.


Na alipokwisha kuingia hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamwendea alipokuwa akifundisha, wakasema, Ni kwa amri gani unatenda mambo haya? Naye ni nani aliyekupa amri hii?


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.


akisema, Je! Hatukuwaamuru ninyi kwa nguvu, msifundishe kwa jina hili? Nanyi, tazameni, mmeijaza Yerusalemu mafundisho yenu, na mnataka kuileta damu ya mtu yule juu yetu.


BWANA, Mungu wako, atakupa nabii miongoni mwa ndugu zako kama nilivyo mimi; msikilizeni yeye.


Mimi niwaiwanulia nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.