Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 1:24 - Swahili Revised Union Version

24 Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.

Tazama sura Nakili




Yohana 1:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ewe Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nako kupate kuwa safi.


Alipotoka humo, Waandishi na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa maswali mengi,


Basi Mafarisayo, ambao wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo yote, wakamdhihaki.


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Akasema, Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, Inyosheni njia ya Bwana! Kama vile alivyonena nabii Isaya.


Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?


Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika wala roho; bali Mafarisayo hukiri yote.


wakinijua sana tangu mwanzo, kama wakipenda kushuhudia, ya kwamba nilikuwa Farisayo kwa kuifuata madhehebu ya dini yetu iliyo sahihi kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo