Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 1:25 - Swahili Revised Union Version

25 Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, wakamwuliza Yohane, “Kama wewe si Masiha, wala Elia, wala yule nabii, mbona wabatiza?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, wakamwuliza Yohane, “Kama wewe si Masiha, wala Elia, wala yule nabii, mbona wabatiza?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, wakamwuliza Yohane, “Kama wewe si Masiha, wala Elia, wala yule nabii, mbona wabatiza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 wakamuuliza, “Kama wewe si Al-Masihi, wala si Ilya na wala si yule Nabii, kwa nini basi unabatiza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 wakamuuliza, “Kama wewe si Al-Masihi, wala si Ilya na wala si yule Nabii, kwa nini basi unabatiza?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Wakamwuliza, wakisema, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?

Tazama sura Nakili




Yohana 1:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.


Na alipokwisha kuingia hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamwendea alipokuwa akifundisha, wakasema, Ni kwa amri gani unatenda mambo haya? Naye ni nani aliyekupa amri hii?


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.


akisema, Je! Hatukuwaamuru ninyi kwa nguvu, msifundishe kwa jina hili? Nanyi, tazameni, mmeijaza Yerusalemu mafundisho yenu, na mnataka kuileta damu ya mtu yule juu yetu.


BWANA, Mungu wako, atakupa nabii miongoni mwa ndugu zako kama nilivyo mimi; msikilizeni yeye.


Mimi niwaiwanulia nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo