Mathayo 21:11 - Swahili Revised Union Version11 Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Watu katika ule umati wakasema, “Huyu ni nabii Yesu, kutoka Nazareti mji wa Galilaya.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Watu katika ule umati wakasema, “Huyu ni nabii Yesu, kutoka Nazareti mji wa Galilaya.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Watu katika ule umati wakasema, “Huyu ni nabii Yesu, kutoka Nazareti mji wa Galilaya.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wale umati wa watu wakajibu, “Huyu ni Isa, yule nabii kutoka Nasiri ya Galilaya.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ule umati wa watu ukajibu, “Huyu ni Isa, yule nabii kutoka Nasiri katika Galilaya.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya. Tazama sura |