Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoeli 2:6 - Swahili Revised Union Version

Mbele yao watu wanahangaika; nyuso zote zimegeuka kuwa nyeupe kwa hofu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakaribiapo, watu hujaa hofu, nyuso zao zinawaiva.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakaribiapo, watu hujaa hofu, nyuso zao zinawaiva.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakaribiapo, watu hujaa hofu, nyuso zao zinawaiva.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanapoonekana, mataifa yanakuwa katika maumivu makuu; kila uso unabadilika rangi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanapoonekana, mataifa yanakuwa katika maumivu makuu; kila uso unabadilika rangi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mbele yao watu wanahangaika; nyuso zote zimegeuka kuwa nyeupe kwa hofu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoeli 2:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nimekuwa kama kiriba katika moshi, Sikuzisahau amri zako.


Nao watafadhaika; watashikwa na uchungu na maumivu; watakuwa na uchungu kama mwanamke aliye karibu kuzaa; watakodoleana macho; nyuso zao zitakuwa ni nyuso za moto.


Ulizeni sasa, mkaone kwamba mwanamume aona uchungu wa uzazi; mbona, basi, ninaona kila mtu anaweka mikono yake viunoni, kama mwanamke aliye na uchungu, na nyuso zote zimegeuka rangi?


Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika.


Nyuso zao ni nyeusi kuliko makaa; Hawajulikani katika njia kuu; Ngozi yao yagandamana na mifupa yao Imekauka, imekuwa kama mti.


Amekuwa utupu, na ukiwa, na uharibifu; hata moyo unayeyuka, na magoti yanagonganagongana; moyoni kote mna uchungu, na nyuso za wote zimekuwa nyeupe kwa hofu.


Kao la simba li wapi? Na mahali walishapo wanasimba pa wapi, mahali walipotembea simba mume na simba mke na mwanasimba, wala hapana aliyewatia hofu?