Nahumu 2:11 - Swahili Revised Union Version11 Kao la simba li wapi? Na mahali walishapo wanasimba pa wapi, mahali walipotembea simba mume na simba mke na mwanasimba, wala hapana aliyewatia hofu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Limekuwaje basi hilo pango la simba, hilo lililokuwa maficho ya wanasimba? Pamekuwaje hapo mahali pa simba, mahali pa wanasimba ambapo hakuna aliyeweza kuwashtua? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Limekuwaje basi hilo pango la simba, hilo lililokuwa maficho ya wanasimba? Pamekuwaje hapo mahali pa simba, mahali pa wanasimba ambapo hakuna aliyeweza kuwashtua? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Limekuwaje basi hilo pango la simba, hilo lililokuwa maficho ya wanasimba? Pamekuwaje hapo mahali pa simba, mahali pa wanasimba ambapo hakuna aliyeweza kuwashtua? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Liko wapi sasa pango la simba, ambapo waliwalisha watoto wao, ambapo simba dume na simba jike walienda, na wana simba pia, bila kuogopa chochote? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Liko wapi sasa pango la simba, mahali ambapo waliwalisha watoto wao, ambapo simba dume na simba jike walikwenda na ambapo wana simba walikwenda bila kuogopa chochote? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Kao la simba li wapi? Na mahali walishapo wanasimba pa wapi, mahali walipotembea simba dume na simba jike na mwanasimba, wala hapana aliyewatia hofu? Tazama sura |
Maana BWANA aniambia hivi, Kama vile ilivyo simba angurumapo na mwanasimba juu ya mawindo yake, wachungaji wengi wakiitwa ili kumpiga, lakini hatiwi hofu na sauti zao, wala kufanya woga kwa sababu ya mshindo wao; ndivyo BWANA wa majeshi atakavyoshuka ili kufanya vita juu ya mlima Sayuni, na juu ya kilima chake.