Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 5:6 - Swahili Revised Union Version

Mmehukumu mwenye haki mkamwua; wala hashindani nanyi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mmemhukumu na kumuua mtu asiye na hatia, naye hakuwapingeni!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mmemhukumu na kumuua mtu asiye na hatia, naye hakuwapingeni!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mmemhukumu na kumuua mtu asiye na hatia, naye hakuwapingeni!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mmehukumu mwenye haki mkamwua; wala hashindani nanyi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 5:6
24 Marejeleo ya Msalaba  

wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake!


Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.


Nao wakuu wa makuhani na wazee wakawashawishi makutano ili wamtake Baraba, na kumwangamiza Yesu.


Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kulia, mgeuzie na la pili.


Akasema, Mungu wa baba zetu amekuchagua wewe upate kujua mapenzi yake, na kumwona yule Mwenye haki, na kuisikia sauti itokayo katika kinywa chake.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni hili, Aliongozwa kwenda machinjoni kama kondoo, Na kama vile mwana-kondoo alivyo kimya mbele yake yule amkataye manyoya, Vivyo hivyo yeye naye hafunui kinywa chake.


Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisitasita, roho yangu haina furaha naye.


Bali ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je! Matajiri hawawaonei ninyi na kuwavuta mbele ya viti vya hukumu?


Mwatamani, wala hamna kitu, mwaua na kuona wivu, wala hamwezi kupata. Mwafanya vita na kupigana, wala hamna kitu kwa kuwa hamwombi!


Na mwenye haki akiokoka kwa shida, yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi ataonekana wapi?