Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 4:15 - Swahili Revised Union Version

Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 4:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mna hila nyingi moyoni mwa mtu; Lakini shauri la BWANA ndilo litakalosimama.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


bali aliagana nao, akisema, Nitarejea kwenu tena, Mungu akinijalia. Akatweka, akatoka Efeso,


siku zote katika sala zangu, nikiomba nije kwenu hivi karibu, Mungu akipenda kuifanikisha safari yangu.


nipate kufika kwenu kwa furaha, kama apendavyo Mungu, nikapate kupumzika pamoja nanyi.


Maana sipendi kuonana nanyi sasa, katika kupita tu, kwa sababu natarajia kukaa kwenu muda kidogo, Bwana akinijalia.


Lakini nitakuja kwenu upesi, nikijaliwa, nami nitafahamu, si neno lao tu wajivunao, bali nguvu zao.


Na hayo tutafanya Mungu akitujalia.


Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya.