Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 24:12 - Swahili Revised Union Version

Nao wakamtia kifungoni, ili wapate kuambiwa neno litakalotoka kinywani pa BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakamtia ndani mpaka hapo watakapofunuliwa matakwa ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakamtia ndani mpaka hapo watakapofunuliwa matakwa ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakamtia ndani mpaka hapo watakapofunuliwa matakwa ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao wakamweka mahabusu hadi mapenzi ya Mwenyezi Mungu yawe wazi kwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao wakamweka mahabusu mpaka mapenzi ya bwana yawe wazi kwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakamtia kifungoni, ili wapate kuambiwa neno litakalotoka kinywani mwa BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 24:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwamba utafanya jambo hili, na Mungu akikuagiza hivyo, basi utaweza kusimama wewe, na watu hawa wote nao watakwenda mahali pao kwa amani.


Na BWANA akasema na Musa, na kumwambia,


Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.


Basi Musa akaleta neno lao mbele ya BWANA


Musa akawaambia, Ngojeni hapo; hata nipate sikiza BWANA atakaloagiza juu yenu.