Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 27:5 - Swahili Revised Union Version

5 Basi Musa akaleta neno lao mbele ya BWANA

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mose akaleta lalamiko lao mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mose akaleta lalamiko lao mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mose akaleta lalamiko lao mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kwa hiyo Musa akaleta shauri lao mbele za Mwenyezi Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kwa hiyo Musa akalileta shauri lao mbele za bwana,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Basi Musa akaleta neno lao mbele za BWANA

Tazama sura Nakili




Hesabu 27:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ningeiweka kesi yangu mbele yake, Na kukijaza kinywa changu hoja.


Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.


Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.


Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atamwulizia kwa hukumu ya ile Urimu mbele za BWANA; kwa neno lake watatoka, na kwa neno lake wataingia; yeye na wana wa Israeli wote pamoja naye, mkutano wote pia.


Kwa nini basi jina la baba yetu kufutwa katika jamaa zake kwa sababu alikuwa hana mwana wa kiume? Tupe sisi urithi pamoja na ndugu zake baba yetu.


BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


wakasema, BWANA alimwagiza bwana wangu awape wana wa Israeli nchi kwa kupiga kura iwe urithi wao; tena bwana wangu aliagizwa na BWANA awape binti za Selofehadi ndugu yetu huo urithi wa baba yao.


Musa akawaambia, Ngojeni hapo; hata nipate sikiza BWANA atakaloagiza juu yenu.


Nao wakaja mbele ya kuhani Eleazari, kuhani, na mbele ya Yoshua, mwana wa Nuni, na mbele ya viongozi, wakasema, BWANA alimwamuru Musa kutupa sisi urithi kati ya ndugu zetu; basi kwa kuifuata hiyo amri ya BWANA akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo