Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 12:3 - Swahili Revised Union Version

Siku ya nane mtoto atatahiriwa govi ya zunga lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtoto huyo atatahiriwa katika siku yake ya nane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtoto huyo atatahiriwa katika siku yake ya nane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtoto huyo atatahiriwa katika siku yake ya nane.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye huyo mtoto atatahiriwa siku ya nane.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mvulana atatahiriwa siku ya nane.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ya nane mtoto atatahiriwa govi ya zunga lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 12:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe utafanya vivyo hivyo katika ng'ombe wako, na kondoo wako; utamwacha siku saba pamoja na mama yake; siku ya nane utanipa mimi.


Na huyo mwanamke atakaa muda wa siku thelathini na tatu ili kutakata damu yake.


Na unajisi wake katika kisonono chake ni huu; kama mwili wake unachuruzika kisonono chake, au kama kisonono chake kimezuiwa mwilini mwake, ni unajisi wake.


Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babaye, Zakaria.


Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Wakashuka watu waliotoka Yudea wakawafundisha wale ndugu ya kwamba, Msipotahiriwa kama desturi ya Musa hamuwezi kuokoka.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka mia nne na thelathini baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile ahadi.


Tena namshuhudia kila mtu atahiriwaye, kwamba ni wajibu wake kuitimiza torati yote.


BWANA, Mungu wako, atautahiri moyo wako, na moyo wa uzao wako, ili umpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, upate kuwa hai.


Nilitahiriwa siku ya nane, ni mtu wa taifa la Israeli, wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania, kwa habari ya kuishika torati, ni Farisayo,


Katika yeye mmetahiriwa kwa tohara isiyofanyika kwa mikono, kwa kuuvua mwili wa nyama, kwa tohara ya Kristo.