Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 15:3 - Swahili Revised Union Version

3 Na unajisi wake katika kisonono chake ni huu; kama mwili wake unachuruzika kisonono chake, au kama kisonono chake kimezuiwa mwilini mwake, ni unajisi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Na ufuatao ni mwongozo kuhusu najisi hiyo: Muda wote anapotokwa na usaha au usaha unapokuwa umezuiwa ndani yake, mtu huyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Na ufuatao ni mwongozo kuhusu najisi hiyo: Muda wote anapotokwa na usaha au usaha unapokuwa umezuiwa ndani yake, mtu huyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Na ufuatao ni mwongozo kuhusu najisi hiyo: muda wote anapotokwa na usaha au usaha unapokuwa umezuiwa ndani yake, mtu huyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Iwe unaendelea kutiririka kutoka mwilini mwake au umeziba, utamfanya najisi. Hivi ndivyo usaha wake utakavyomletea unajisi:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Iwe unaendelea kutiririka kutoka mwilini mwake au umeziba, utamfanya kuwa najisi. Hivi ndivyo usaha wake utakavyomletea unajisi:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Na unajisi wake katika kisonono chake ni huu; kama mwili wake unachuruzika kisonono chake, au kama kisonono chake kimezuiwa mwilini mwake, ni unajisi wake.

Tazama sura Nakili




Walawi 15:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena umezini na Wamisri, jirani zako, wakuu wa mwili; ukaongeza mambo yako ya kikahaba, ili kunikasirisha.


Akawapendelea wapenzi wao, ambao nyama ya mwili wao ni kama nyama ya mwili wa punda, nacho kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi.


Siku ya nane mtoto atatahiriwa govi ya zunga lake.


Haya, semeni na wana wa Israeli, mkawaambie, Mtu yeyote atakapokuwa na kisonono na kutokwa usaha mwilini mwake, atakuwa najisi kwa ajili ya kisonono chake.


Kitanda chochote akilaliacho mwenye kisonono kitakuwa najisi; na kitu chochote atakachokalia kitakuwa najisi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo