Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 1:6 - Swahili Revised Union Version

Kisha atachuna sadaka ya kuteketeza na kuikata vipande vyake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo mtu atamchuna huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumkata vipandevipande.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo mtu atamchuna huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumkata vipandevipande.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo mtu atamchuna huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumkata vipandevipande.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha atachuna sadaka ya kuteketeza na kuikata vipande vipande.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 1:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.


Kisha akazipanga zile kuni, akamkata yule ng'ombe vipande vipande, akaviweka juu ya kuni. Akasema, Jazeni mapipa manne maji, mkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwa, na juu ya kuni.


Tena hizo kulabu, ambazo urefu wake ni shubiri, zilifungwa ndani pande zote; na juu ya meza hizo ilikuwako nyama ya matoleo.


Kisha wana wa Haruni, watatia moto juu ya madhabahu, na kuzipanga kuni juu ya moto,


Utaukatakata vipande, na kutia mafuta juu yake; ni sadaka ya unga.


Tena kuhani atakayesongeza sadaka ya kuteketezwa ya mtu awaye yote, huyo kuhani atatwaa awe nayo ngozi ya huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa aliyemsongeza.