Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 1:7 - Swahili Revised Union Version

7 Kisha wana wa Haruni, watatia moto juu ya madhabahu, na kuzipanga kuni juu ya moto,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hao makuhani wazawa wa Aroni watazipanga kuni juu ya madhabahu na kuwasha moto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hao makuhani wazawa wa Aroni watazipanga kuni juu ya madhabahu na kuwasha moto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hao makuhani wazawa wa Aroni watazipanga kuni juu ya madhabahu na kuwasha moto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Wana wa Haruni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wana wa Haruni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Kisha wana wa Haruni, watatia moto juu ya madhabahu, na kuzipanga kuni juu ya moto,

Tazama sura Nakili




Walawi 1:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika mahali pale alipoambiwa na Mungu, Abrahamu akajenga madhabahu huko, akaziweka tayari kuni, kisha akamfunga Isaka mwanawe, akamweka juu ya madhabahu, juu ya zile kuni.


Kisha akazipanga zile kuni, akamkata yule ng'ombe vipande vipande, akaviweka juu ya kuni. Akasema, Jazeni mapipa manne maji, mkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwa, na juu ya kuni.


Kisha Daudi akamjengea BWANA madhabahu huko, akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, akamlingana BWANA; naye akamwitikia kutoka mbinguni kwa moto juu ya madhabahu hiyo ya sadaka ya kuteketezwa.


mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu;


Basi Sulemani alipomaliza maombi hayo, moto ukashuka kutoka mbinguni, ukateketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu; utukufu wa BWANA ukaijaza nyumba.


na kuleta kwa kuni na malimbuko, katika nyakati zilizoamriwa. Nikumbuke, Ee Mungu wangu, ili unitendee mema.


BWANA akanena na Musa na kumwambia,


Kisha moto ukatoka hapo mbele za BWANA, na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa, na yale mafuta juu ya madhabahu; watu wote walipouona huo moto wakapiga kelele wakainama kifudifudi.


Laiti angekuwapo kwenu mtu mmoja wa kuifunga milango; msije mkawasha moto bure madhabahuni pangu! Sina furaha kwenu, asema BWANA wa majeshi, wala sitakubali dhabihu yoyote mikononi mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo