Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 1:6 - Swahili Revised Union Version

6 Kisha atachuna sadaka ya kuteketeza na kuikata vipande vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Huyo mtu atamchuna huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumkata vipandevipande.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Huyo mtu atamchuna huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumkata vipandevipande.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Huyo mtu atamchuna huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumkata vipandevipande.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Kisha atachuna sadaka ya kuteketeza na kuikata vipande vipande.

Tazama sura Nakili




Walawi 1:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.


Kisha akazipanga zile kuni, akamkata yule ng'ombe vipande vipande, akaviweka juu ya kuni. Akasema, Jazeni mapipa manne maji, mkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwa, na juu ya kuni.


Tena hizo kulabu, ambazo urefu wake ni shubiri, zilifungwa ndani pande zote; na juu ya meza hizo ilikuwako nyama ya matoleo.


Kisha wana wa Haruni, watatia moto juu ya madhabahu, na kuzipanga kuni juu ya moto,


Utaukatakata vipande, na kutia mafuta juu yake; ni sadaka ya unga.


Tena kuhani atakayesongeza sadaka ya kuteketezwa ya mtu awaye yote, huyo kuhani atatwaa awe nayo ngozi ya huyo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa aliyemsongeza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo