Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 2:7 - Swahili Revised Union Version

Umemfanya mdogo kwa muda kuliko malaika, Umemvika taji la utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ulimfanya tu kidogo kuwa chini ya malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ulimfanya tu kidogo kuwa chini ya malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ulimfanya tu kidogo kuwa chini ya malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umemfanya chini kidogo kuliko malaika; ukamvika taji la utukufu na heshima,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umemfanya chini kidogo kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umemfanya mdogo punde kuliko malaika, Umemvika taji la utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 2:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Umemfanya mdogo kuliko Mungu; Umemvika taji la utukufu na heshima;


Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.


bali utukufu na heshima na amani kwa kila mtu atendaye mema, Myahudi kwanza na Mgiriki pia;


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.


ila twamwona yeye aliyefanywa mdogo kwa muda kuliko malaika, yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji la utukufu na heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya kila mtu.