Waebrania 2:6 - Swahili Revised Union Version6 Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Lakini kuna mahali mtu mmoja ameshuhudia, akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie? Tazama sura |