Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 2:7 - Swahili Revised Union Version

7 Umemfanya mdogo kwa muda kuliko malaika, Umemvika taji la utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Ulimfanya tu kidogo kuwa chini ya malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Ulimfanya tu kidogo kuwa chini ya malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Ulimfanya tu kidogo kuwa chini ya malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Umemfanya chini kidogo kuliko malaika; ukamvika taji la utukufu na heshima,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Umemfanya chini kidogo kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Umemfanya mdogo punde kuliko malaika, Umemvika taji la utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;

Tazama sura Nakili




Waebrania 2:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Umemfanya mdogo kuliko Mungu; Umemvika taji la utukufu na heshima;


Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.


bali utukufu na heshima na amani kwa kila mtu atendaye mema, Myahudi kwanza na Mgiriki pia;


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.


ila twamwona yeye aliyefanywa mdogo kwa muda kuliko malaika, yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji la utukufu na heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya kila mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo