Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 12:12 - Swahili Revised Union Version

Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu yaliyo dhaifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu yaliyo dhaifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu yaliyo dhaifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo, itieni nguvu mikono yenu iliyo dhaifu na magoti yenu yaliyolegea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, itieni nguvu mikono yenu iliyo dhaifu na magoti yenu yaliyolegea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 12:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Magoti yangu yamedhoofu kwa kufunga, Na mwili wangu umekonda kwa kukosa mafuta.


Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yaimarisheni magoti yaliyolegea.


Na itakuwa, wakuambiapo, Mbona unapiga kite? Ndipo utakaposema, Kwa sababu ya habari hizo, maana linakuja; na kila moyo utayeyuka, na mikono yote itakuwa dhaifu, na kila roho itazimia, na magoti yote yatageuka kuwa kama maji; tazama, linakuja, nalo litatendeka, asema Bwana MUNGU.


Mikono yote itakuwa dhaifu, na magoti yote yatalegea kama maji.


Ndipo uso wa mfalme ukambadilika; fikira zake zikamfadhaisha; viungo vya viuno vyake vikalegea; magoti yake yakagongana.


Amekuwa utupu, na ukiwa, na uharibifu; hata moyo unayeyuka, na magoti yanagonganagongana; moyoni kote mna uchungu, na nyuso za wote zimekuwa nyeupe kwa hofu.


Katika siku ile Yerusalemu utaambiwa, Usiogope, Ee Sayuni; mikono yako isilegee.


Ndugu, tunawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili upinzani mkuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.


tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana, Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;