Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 35:3 - Swahili Revised Union Version

3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yaimarisheni magoti yaliyolegea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Imarisheni mikono yenu dhaifu, kazeni magoti yenu manyonge.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Imarisheni mikono yenu dhaifu, kazeni magoti yenu manyonge.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Imarisheni mikono yenu dhaifu, kazeni magoti yenu manyonge.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yafanyeni imara magoti yaliyolegea,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yafanyeni imara magoti yaliyolegea,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yaimarisheni magoti yaliyolegea.

Tazama sura Nakili




Isaya 35:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Na watu wote waliokaa karibu nao pande zote wakawatia nguvu mikono yao, kwa vyombo vya fedha, kwa dhahabu, kwa mali, na kwa wanyama, na vitu vya thamani, zaidi ya vile vilivyotolewa kwa hiari ya mtu.


Lakini ningewatia nguvu kwa kinywa changu, Na maliwazo ya midomo yangu yangewatuliza.


Lakini mikono ya Musa ililegea; basi wakatwaa jiwe, wakaliweka chini yake akalikalia. Haruni na Huri wakaitengemaza mikono yake, mmoja upande huu na mmoja upande huu; mikono yake ikathibitika hata jua lilipokuchwa.


Kisha mmoja mfano wa mwanadamu akanigusa tena, akanitia nguvu.


Katika siku ile Yerusalemu utaambiwa, Usiogope, Ee Sayuni; mikono yako isilegee.


BWANA wa majeshi asema hivi, Mikono yenu na iwe hodari, ninyi mnaosikia siku hizi maneno haya kwa vinywa vya manabii, waliokuwapo siku hiyo ulipowekwa msingi wa nyumba ya BWANA wa majeshi; yaani, hekalu hilo; ili lijengwe.


lakini nimekuombea wewe ili imani yako isipungue; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.


Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.


Baada ya kukaa huko kwa siku kadhaa akaondoka, akapita kati ya nchi ya Galatia na Frigia, mji kwa mji, akiwatia moyo wanafunzi.


Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza,


nawe utasikia wanayoyasema, na baada ya haya, mikono yako itatiwa nguvu; ushuke kambini. Ndipo akashuka pamoja na Pura mtumishi wake hadi katika vituo vya walinda zamu wa kambi ya Wamidiani.


Akamwambia, Usiogope, kwa maana mkono wa Sauli, babangu, hautakupata; na wewe utakuwa mfalme juu ya Israeli; na mimi nitakuwa makamu wako; ndivyo ajuavyo hata Sauli, babangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo