Angalia, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
Waebrania 10:17 - Swahili Revised Union Version Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.” Biblia Habari Njema - BHND Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.” Neno: Bibilia Takatifu Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.” Neno: Maandiko Matakatifu Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.” BIBLIA KISWAHILI Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. |
Angalia, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue BWANA; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hadi aliye mkubwa miongoni mwao, asema BWANA; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.