Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 10:17 - Swahili Revised Union Version

Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 10:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.


Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue BWANA; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hadi aliye mkubwa miongoni mwao, asema BWANA; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.


Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.


Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.