Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 8:12 - Swahili Revised Union Version

12 Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.

Tazama sura Nakili




Waebrania 8:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Usiyakumbuke makosa ya ujana wangu, Wala maasi yangu. Unikumbuke kwa kadiri ya fadhili zako, Ee BWANA kwa ajili ya wema wako.


Tutakapozidiwa na matendo maovu Wewe utatuondolea uovu wetu.


Mimi, naam, mimi, ndimi niyafutaye makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitazikumbuka dhambi zako.


Nimeyafuta makosa yako kama wingu zito, na dhambi zako kama wingu; unirudie; maana nimekukomboa.


Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue BWANA; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hadi aliye mkubwa miongoni mwao, asema BWANA; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.


Nami nitawasafisha uovu wao wote, ambao kwao wamenitenda dhambi; nami nitawasamehe maovu yao yote, ambayo kwayo wamenitenda dhambi, na kukosa juu yangu.


Katika siku hizo na wakati huo, asema BWANA, uovu wa Israeli utatafutwa, wala hakuna uovu; na dhambi za Yuda zitatafutwa, wala hazitaonekana; maana nitawasamehe wale niwaachao kuwa mabaki.


Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu wa urithi wake waliosalia? Hadumishi hasira yake milele, kwa maana yeye hufurahia rehema.


Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.


Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.


Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.


ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi.


tena zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia. Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu katika damu yake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo