Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 13:9 - Swahili Revised Union Version

Mtu akiwa na sikio na asikie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye aliye na sikio na asikie.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye aliye na sikio na asikie.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu akiwa na sikio na asikie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 13:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.