Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 7:46 - Swahili Revised Union Version

Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 7:46
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wenyeji wa kwanza waliokaa katika miliki yao katika miji yao walikuwa Israeli, na makuhani, na Walawi, na Wanethini.


Wanethini; wazawa wa Siha, wazawa wa Hasufa, wazawa wa Tabaothi;


wakaambatana na ndugu zao, wakuu wao, nao wakaingia katika laana na kiapo, ya kuwa wataiendea Torati ya Mungu, iliyotolewa kwa mkono wa Musa, mtumishi wa Mungu, na kuziangalia, na kuzitenda, amri zote za BWANA, Bwana wetu, na maagizo yake na sheria zake;


Basi hawa ndio viongozi wa jimbo waliokaa Yerusalemu; ila mijini mwa Yuda wakakaa kila mtu katika milki yake mijini mwao, yaani, Israeli, makuhani, na Walawi, na Wanethini, wazawa wa watumishi wa Sulemani.


(basi Wanethini hukaa Ofeli), mpaka mahali paelekeapo lango la maji kukabili mashariki, nao mnara utokezao.


Mabawabu; Wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni, wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, mia moja thelathini na wanane.


wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;