Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 7:46 - Swahili Revised Union Version

46 Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

Tazama sura Nakili




Nehemia 7:46
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wenyeji wa kwanza waliokaa katika miliki yao katika miji yao walikuwa Israeli, na makuhani, na Walawi, na Wanethini.


Wanethini; wazawa wa Siha, wazawa wa Hasufa, wazawa wa Tabaothi;


wakaambatana na ndugu zao, wakuu wao, nao wakaingia katika laana na kiapo, ya kuwa wataiendea Torati ya Mungu, iliyotolewa kwa mkono wa Musa, mtumishi wa Mungu, na kuziangalia, na kuzitenda, amri zote za BWANA, Bwana wetu, na maagizo yake na sheria zake;


Basi hawa ndio viongozi wa jimbo waliokaa Yerusalemu; ila mijini mwa Yuda wakakaa kila mtu katika milki yake mijini mwao, yaani, Israeli, makuhani, na Walawi, na Wanethini, wazawa wa watumishi wa Sulemani.


(basi Wanethini hukaa Ofeli), mpaka mahali paelekeapo lango la maji kukabili mashariki, nao mnara utokezao.


Mabawabu; Wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni, wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, mia moja thelathini na wanane.


wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo