Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 7:11 - Swahili Revised Union Version

Wana wa Pahath-Moabu, wa wana wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wanane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa ukoo wa Pahath-moabu, yaani wazawa wa Yeshua na Yoabu: 2,818;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa ukoo wa Pahath-moabu, yaani wazawa wa Yeshua na Yoabu: 2,818;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa ukoo wa Pahath-moabu, yaani wazawa wa Yeshua na Yoabu: 2,818;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu), elfu mbili mia nane na kumi na nane (2,818);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Pahath-Moabu, wa wana wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wanane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 7:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Pahath-Moabu, wazawa wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wawili.


Na viongozi wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;


Malkiya, mwana wa Harimu, na Hashubu, mwana wa Pahath-moabu, wakajenga sehemu nyingine, na mnara wa tanuri.


Wana wa Ara mia sita hamsini na wawili.


Wana wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Naye Ezra, kuhani, akasimama juu ya mimbari ya mti, waliyokuwa wameitengeneza kwa kusudi hilo; na karibu naye wakasimama Matithia, na Shema, na Anaya, na Uria, na Hilkia, na Maaseya, mkono wake wa kulia; na mkono wake wa kushoto, Pedaya, na Misbaeli, na Malkiya, na Hashumu, na Hashbadani, na Zekaria, na Meshulamu.