Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 6:5 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Sanbalati akamtuma kwangu mtumishi wake vile vile mara ya tano, na barua wazi mkononi mwake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara ya tano, Sanbalati akanitumia barua ya hadhara kwa njia ya mjumbe wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara ya tano, Sanbalati akanitumia barua ya hadhara kwa njia ya mjumbe wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara ya tano, Sanbalati akanitumia barua ya hadhara kwa njia ya mjumbe wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi, mara ya tano, Sanbalati akamtuma msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe ule ule, naye alikuwa amechukua mkononi mwake barua isiyofungwa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi, mara ya tano, Sanbalati akamtuma msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe wa aina ile ile, naye alikuwa amechukua mkononi mwake barua isiyofungwa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Sanbalati akamtuma kwangu mtumishi wake vile vile mara ya tano, na barua wazi mkononi mwake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 6:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.


nayo yakaandikwa humo, Habari imeenea katika mataifa, naye Geshemu asema neno lilo hilo, ya kwamba wewe na Wayahudi mnakusudia kuasi; ndiyo sababu unaujenga huo ukuta; nawe unataka kuwamiliki, ndivyo wasemavyo.


Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.


Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.


na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.