Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 13:3 - Swahili Revised Union Version

Ikawa walipoisikia Torati, wakawatenga Israeli na umati wa watu waliochanganyika nao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wa Israeli waliposikia sheria hiyo waliwatenga watu wa mataifa mengine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wa Israeli waliposikia sheria hiyo waliwatenga watu wa mataifa mengine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wa Israeli waliposikia sheria hiyo waliwatenga watu wa mataifa mengine.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu waliposikia sheria hii, waliwatenga watu wote wasio Waisraeli waliokuwa wa uzao wa kigeni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu waliposikia sheria hii, waliwatenga watu wote wasio Waisraeli waliokuwa wa uzao wa kigeni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa walipoisikia Torati, wakawatenga Israeli na umati wa watu waliochanganyika nao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 13:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Sasa basi, ungameni mbele za BWANA, Mungu wa baba zenu, mkatende alipendalo; mkajitenge na watu wa nchi, tena na wanawake wageni.


Maana wametwaa binti zao kuwa wake zao, na wake za watoto wao; basi mbegu takatifu wamejichanganya na watu wa nchi hizi; naam, mkono wa wakuu na viongozi umetangulia katika kosa hili.


Na watu waliosalia, makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, Wanethini, na hao wote waliojitenga katika watu wa nchi kwa Torati ya Mungu; wake zao, na wana wao, na binti zao, kila mwenye maarifa na akili;


Waliokuwa wa wazao wa Israeli wakajitenga na wageni wote, wakasimama, wakaziungama dhambi zao, na maovu ya baba zao.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako.


Na kundi kubwa la watu waliochangamana mno wakakwea pamoja nao; na kondoo na ng'ombe, wanyama wengi sana.


Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima.


Kisha mkutano wa wafuasi waliokuwa kati yao, wakashikwa na tamaa; wana wa Israeli nao wakalia tena, wakasema, Ni nani atakayetupa nyama tule?


kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.


Dini iliyo safi, isiyo na dosari mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.