Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 11:10 - Swahili Revised Union Version

Wa makuhani; Yedaya, Yoyaribu, Yakini,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Makuhani waliokaa mjini Yerusalemu walikuwa: Yedaya, mwana wa Yoaribu, Yakini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Makuhani waliokaa mjini Yerusalemu walikuwa: Yedaya, mwana wa Yoaribu, Yakini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Makuhani waliokaa mjini Yerusalemu walikuwa: Yedaya, mwana wa Yoaribu, Yakini,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka makuhani: Yedaya; mwana wa Yoyaribu; Yakini;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka makuhani: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wa makuhani; Yedaya, Yoyaribu, Yakini,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 11:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.


Na katika makuhani; Yedaya, na Yehoyaribu, na Yakini;


Makuhani; wazawa wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.


Ndipo nikatuma watu kwenda kumwita Eliezeri, na Arieli, na Shemaya, na Elnathani, na Yaribu, na Elnathani, na Nathani, na Zekaria, na Meshulamu, waliokuwa wakuu; na Yoyaribu, na Elnathani pia, waliokuwa waalimu.


na Seraya, mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi wa nyumba ya Mungu,


Na Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa msimamizi wao; na Yuda, mwana wa Hasenua, alikuwa wa pili juu ya mji.


wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;


Shemaya, Yoyaribu, Yedaya;


Makuhani; Wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia tisa sabini na watatu.