Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 11:9 - Swahili Revised Union Version

9 Na Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa msimamizi wao; na Yuda, mwana wa Hasenua, alikuwa wa pili juu ya mji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa ndiye mkuu wao; naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili wa mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa ndiye mkuu wao; naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili wa mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa ndiye mkuu wao; naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili wa mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Na Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa msimamizi wao; na Yuda, mwana wa Hasenua, alikuwa wa pili juu ya mji.

Tazama sura Nakili




Nehemia 11:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wana wa Benyamini; Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;


Wa makuhani; Yedaya, Yoyaribu, Yakini,


Naye msimamizi wa Walawi huko Yerusalemu, ni Uzi, mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, hao waimbaji, alikuwa juu ya kazi ya nyumba ya Mungu.


Na baada yake Gabai, Salai, watu mia tisa ishirini na wanane.


Na wana wa Ishari; ni Kora, na Nefegi, na Zikri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo