Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 8:10 - Swahili Revised Union Version

Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nuhu akangojea siku saba zaidi, kisha akamtoa tena hua kutoka safina.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nuhu akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 8:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya siku hizo saba, maji ya gharika yakawa juu ya nchi.


Kwa maana baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arubaini mchana na usiku; na kila kilicho hai nilichokifanya juu ya uso wa nchi nitakifutilia mbali.


njiwa akamjia jioni, na tazama, alikuwa na jani bichi la mzeituni kinywani mwake, ambalo amelichuma, basi Nuhu akajua ya kwamba maji yamepunguka juu ya nchi.


Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.


bali yule njiwa hakuona mahali pa kutua kwa wayo wa mguu wake, akamrudia Nuhu safinani, maana maji yalikuwa juu ya uso wa nchi yote; naye akanyosha mkono, akamtwaa, akamwingiza mle safinani.


Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu.


Naam, katika njia ya hukumu zako Sisi tumekungoja, Ee BWANA; Shauku ya nafsi zetu inaelekea Jina lako na ukumbusho wako.


Nami nitamngojea BWANA, awafichaye uso wake nyumba ya Yakobo, nami nitamtazamia.


Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.