Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 8:10 - Swahili Revised Union Version

10 Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Nuhu akangojea siku saba zaidi, kisha akamtoa tena hua kutoka safina.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Nuhu akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 8:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya siku hizo saba, maji ya gharika yakawa juu ya nchi.


Kwa maana baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arubaini mchana na usiku; na kila kilicho hai nilichokifanya juu ya uso wa nchi nitakifutilia mbali.


njiwa akamjia jioni, na tazama, alikuwa na jani bichi la mzeituni kinywani mwake, ambalo amelichuma, basi Nuhu akajua ya kwamba maji yamepunguka juu ya nchi.


Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.


bali yule njiwa hakuona mahali pa kutua kwa wayo wa mguu wake, akamrudia Nuhu safinani, maana maji yalikuwa juu ya uso wa nchi yote; naye akanyosha mkono, akamtwaa, akamwingiza mle safinani.


Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu.


Naam, katika njia ya hukumu zako Sisi tumekungoja, Ee BWANA; Shauku ya nafsi zetu inaelekea Jina lako na ukumbusho wako.


Nami nitamngojea BWANA, awafichaye uso wake nyumba ya Yakobo, nami nitamtazamia.


Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo