Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.
Mwanzo 7:5 - Swahili Revised Union Version Nuhu akafanya kama vile BWANA alivyomwamuru. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Noa akafanya yote kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru. Biblia Habari Njema - BHND Noa akafanya yote kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Noa akafanya yote kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru. Neno: Bibilia Takatifu Nuhu akafanya yote Mwenyezi Mungu aliyomwamuru. Neno: Maandiko Matakatifu Nuhu akafanya yote kama bwana alivyomwamuru. BIBLIA KISWAHILI Nuhu akafanya kama vile BWANA alivyomwamuru. |
Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.
Na walioingia, waliingia wa kike na wa kiume, wa kila kitu chenye mwili, kama vile alivyomwamuru Mungu; BWANA akamfungia.
Basi ndivyo ilivyomalizwa kazi yote ya maskani ya hema ya kukutania; na wana wa Israeli walifanya kama yote BWANA aliyomwagiza Musa, ndivyo walivyofanya.
Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Ndipo akakubali.
Akawajibu akasema, Mama yangu na ndugu zangu ni hao walisikiao neno la Mungu na kulifanya.
tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.