Wafilipi 2:8 - Swahili Revised Union Version8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba! Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. Tazama sura |